Kamusi Kuu ya Kiswahili

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kamusi Kuu ya Kiswahili (KKK) ni kamusi ya lugha ya Kiswahili iliyotolewa na Baraza la Kiswahili la Taifa la Tanzania mwaka 2015 baada ya maandalizi ya miaka minne[1].

Toleo hilo limechapishwa na kusambazwa na Longhorn. Mwaka 2017 ilipatikana pia kama app ya android kwa ajili ya mitambo ya simujanja[2].

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Kamusi Kuu ya Kiswahili yazinduliwa Tanzania, tovuti ya BBC ya 19 Juni 2017, iliangaliwa Oktoba 2020
  2. See secret apps Kenyan children are downloading before KCPE & KCSE, tovuti ya tuko.co.ke ya 19 Juni 2017, iliangaliwa Oktoba 2020
Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kamusi Kuu ya Kiswahili kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.