Kalumbu

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kalumbu, au kalumbo, ni kifaa cha kitamaduni cha Wa Tonga na Waila wa Zambia na Zimbabwe. Upinde mmoja wenye nyuzi za chuma unaochezwa kwa fimbo hupigwa kwenye kibuyu ambacho hufanya kama chumba chenye sauti. Mchezaji wa kalumbu hubadilisha mlio wa chombo kwa kusogeza kibuyu kukaribiya na pembeni mbali na kifua chake. Ingawa sasa ni nadra sana barani Afrika, kalumbu inachukuliwa kuwa mtangulizi wa berimbau ya Afro-Brazili inayotumiwa katika maonyesho ya Capoeira. Ala sawa, dende, huchezwa na watoto nchini Botswana. Berimbau ya Brazil ni chombo kingine sawa.[1]

Ala ikifanana, na dende, huchezwa na watoto nchini Botswana. Berimbau ya Brazil ni chombo kingine sawa.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. https://archive.org/details/roughguidetoworl00simo/page/671