Kabwe Zuberi Zitto
| |
Mbunge | |
Bunge la | Tanzania |
Jimbo la uchaguzi | Kigoma Kaskazini |
Tarehe ya kuzaliwa | 24 Septemba 1976 |
Chama | Chama cha Demokrasia Tanzania |
Tar. ya kuingia bunge | 2005 |
Dini | |
Elimu yake | Chuo Kikuu cha Dar es Salaam |
Digrii anazoshika | BA (uchumi) |
Kazi | mwanasiasa |
Tovuti yake | http://zittokabwe.wordpress.com/ |
Kabwe Zuberi Zitto ni mbunge katika Bunge la Jamhuri ya Muungano ya Tanzania. Anawakilisha jimbo la Kigoma Kaskazini.
Kabwe anatokea chama cha Chadema ambapo yeye ni Mkurugenzi wa Ofisi ya Masuala ya Kimataifa. Alisoma uchumi Tanzania na Ujerumani.
Viungo vya nje
Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Kabwe Zuberi Zitto kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |