Juan José Martín-Bravo
Juan José Martín-Bravo ni mwanaharakati wa hali ya hewa kutoka Chile. Ni rais wa CVerde,[1] Ndiye mratibu mkuu wa COY15 (Mkutano wa Vijana Ulimwenguni).[2][3] Mnamo 2018, Cverde ilipewa Tuzo ya Kitaifa ya Mazingira ya Chile.
Maisha[hariri | hariri chanzo]
Ni mwanafunzi huko Pontificia Universidad Católica.[2][4][5]
Ni mgombea ubunge na mwanachama wa chama cha Independientes No Neutrales.[6][7][8]
![]() |
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Juan José Martín-Bravo kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- ↑ Cverde. Jalada kutoka ya awali juu ya 2021-05-07. Iliwekwa mnamo 2021-06-21.
- ↑ 2.0 2.1 Mostrador, El (2019-10-03). El joven chileno que fue invitado por la ONU para participar de las cumbres climáticas (es).
- ↑ Jóvenes quieren ser más que un fenómeno mediático durante la reunión del clima organizada en Costa Rica (es-LA).
- ↑ Ganador de "Green Tickets" por Cambio Climático: "Chile está siendo pionero, pero está muy lejos de dar el ejemplo" (es).
- ↑ Joven Chileno recibe "Boleto Verde" para asistir a la primera Cumbre de la Juventud sobre el Clima de la ONU (es).
- ↑ Juanjo Martín: El joven reconocido mundialmente ante la ONU que va como candidato constituyente por el distrito.
- ↑ Anoten en Puente Alto: Conoce el nombre de todos los candidatos constituyentes que Servel oficializó para el distrito 12. Jalada kutoka ya awali juu ya 2021-05-09. Iliwekwa mnamo 2021-06-21.
- ↑ Región Metropolitana: ¿Conoces a los candidatos a la Convención Constitucional de tu distrito? (es).