Jonas Knudsen

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Jonas Knudsen

Jonas Hjort Knudsen (alizaliwa 16 Septemba 1992) ni mchezaji wa soka wa Denmark ambaye anacheza kama beki wa klabu ya michuano ya Ipswich Town. Alicheza katika klabu ya Esbjerg fB tangu mwaka 2009 kabla ya kusajiliwa na klabu ya Ipswich iiliyopo nchini Uingereza mwaka 2015.

Ipswich city[hariri | hariri chanzo]

Knudsen alisajiliwa na Ipswich Town tarehe 31 Julai 2015 juu ya mkataba wa miaka mitatu (3). Knudsen aliendelea kufanya maonyesho 43, akifunga goli 1 wakati wa msimu wake wa kwanza katika Portman Road.

Kazi ya kimataifa[hariri | hariri chanzo]

Mnamo Mei 2018 aliitwa jina lake katika kikosi cha kwanza cha Denmark cha kuwakilisha Denmark katika Kombe la Dunia la FIFA 2018 nchini Urusi.

Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Jonas Knudsen kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.