John Gay

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
John Gay kwenye Olimpiki ya 2020
John Gay kwenye Olimpiki ya 2020

John Eamon Gay (alizaliwa 7 Novemba 1996)[1] NI mwanariadha kutoka Kanada aliyebobea kwenye mbio za mwinuko za mita 3000. Mwaka 2019, alishindana kwenye mbio za mwinuko kwa wanaume kwenye michuano ya riadha ya mwaka 2019 yaliyofanyika Doha, Qatari[1]. Hakufuzu kushindana kwenye fainali

Mwaka 2017, alishiriki mbio ya mwinuko kwa wanaume ya mita 3000 kwenye 2017 Summer Universaide yaliyofanyika Taipei, Taiwan. [2]Alishikilia nafasi ya 11[2].

Mwaka 2019, alishindana kwenye senior men race kwenye michuano ya 2019 IAAF World Cross Country yaliyofanyika Aarhus, Denmarki[3]. Alishika nafasi ya 102.[3]

Mnamo Juni 2021, kwenye majaribio ya olimpiki Kanada, aliweka rekodi yake bora kwenye mita 3000 ya 8:20:68, huko Complexe Sportif Claude-Robillard, Montreal. Alishindana kwenye mbio za mwinuko za wanaume z amita 3000 kwenye michezo ya olimpiki majira ya joto ya 2020 yaliofanyika Tokyo, Japani.[4]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. 1.0 1.1 0_Qsummary Mark (iaaf.org)
  2. 2.0 2.1 data.2017.gov.taipei
  3. 3.0 3.1 "Wayback Machine". web.archive.org. 2020-07-06. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2020-07-06. Iliwekwa mnamo 2021-10-13. 
  4. "Athletics GAY John - Tokyo 2020 Olympics". olympics.com (kwa en-us). Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2021-08-28. Iliwekwa mnamo 2021-10-13.