Jean Castex
Mandhari
Makala hii inahitaji vyanzo zaidi ili kuwezesha kuonyesha uthibitisho. |

Jean Castex (amezaliwa 25 Juni 1965) ni mwanasiasa Mfaransa anayehudumu kama Waziri Mkuu wa Ufaransa tangu tarehe 3 Julai mwaka 2020.
Mwanachama wa zamani wa Republican (LR), Castex aliwahi kuwa Meya wa Prades, mji wa mkoa Kusini mwa Ufaransa, kwa miaka kumi na mbili hadi kuteuliwa kwake kama Waziri Mkuu na Rais Emmanuel Macron.
Mnamo Novemba 22, 2021, Jean Castex, alipimwa na kukutwa na COVID-19 na alizuiliwa kwa wiki moja.
| Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Jean Castex kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |