Nenda kwa yaliyomo

Jean Castex

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Jean Castex

Jean Castex (amezaliwa 25 Juni 1965) ni mwanasiasa Mfaransa aliyehudumu kama Waziri Mkuu wa Ufaransa tangu tarehe 3 Julai 2020 hadi tarehe 16 Mei 2022.

Mwanachama wa zamani wa Republican (LR), Castex aliwahi kuwa Meya wa Prades, mji wa mkoa Kusini mwa Ufaransa, kwa miaka kumi na mbili hadi kuteuliwa kwake kama Waziri Mkuu na Rais Emmanuel Macron.[1]

Mnamo 22 Novemba, 2021, Jean Castex, alipimwa na kukutwa na COVID-19 na alizuiliwa kwa wiki moja.[2][3]

  1. Mallet, Victor (3 July 2020). "Macron names Jean Castex as new French prime minister". Financial Times. Archived from the original on 3 July 2020. Retrieved 3 July 2020.
  2. France24. "Profile: Jean Castex, France's new prime minister". https://www.france24.com/en/20200703-profile-jean-castex-france-prime-minister
  3. École Nationale d'Administration Alumni. "Jean Castex". https://www.ena.fr/biographies/jean-castex
Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Jean Castex kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.