James Zikusoka

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

James Mbuzi Nyonyintono Zikusoka (11 Novemba 1926 - 29 Januari 2012), alikuwa mhandisi wa ujenzi kutoka Uganda, ambaye alifanya kazi kama Waziri wa ujenzi na usafiri kutoka 1971 hadi 1972.[1]

Elimu[hariri | hariri chanzo]

Zikusoka alizaliwa tarehe 11 Novemba 1926, katika Wilaya ya sasa ya Iganga, mkoa mdogo wa Busoga, katika Mkoa wa Mashariki wa Uganda. Alisoma shule za msingi za eneo hilo kabla ya kuingia katika Chuo cha Busoga Mwanri, ambapo alimaliza elimu yake ya ngazi ya juu na kidato cha tano na cha sita ,na kuhitimu mwaka 1947. . Akawa msimamizi wa shule ya bweni ya wavulana wote. Baadaye alifanya kazi kama mhandisi wa ujenzi.[2]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu James Zikusoka kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
  1. Joomlasupport (27 February 2012). "Obituary: Zikusoka – A life well lived". The Observer (Uganda). Kampala. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2022-03-16. Iliwekwa mnamo 18 December 2017.  More than one of |accessdate= na |access-date= specified (help); Check date values in: |date=, |accessdate= (help)
  2. Nabwiso, Frank (1 February 2017). "The Sad Demise of Reverend Canon Engineer Zikusoka". Google Groups: Mwiri Alumni. Iliwekwa mnamo 18 December 2017.  Check date values in: |date=, |accessdate= (help)