Jacqueline Kandidus Ngonyani

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Jacqueline Kandidus Ngonyani ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa chama cha kisiasa cha CCM. Amechaguliwa kuwa mbunge wa Viti maalum vya wanawake kwa miaka 20152020 [1] akatudishwa vile mwaka 2020.[2]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Tovuti ya Bunge la Tanzania Archived 25 Januari 2020 at the Wayback Machine., iliangaliwa Mei 2017
  2. Hon. Jacqueline Kandidus Ngonyani (Msongozi), tovuti ya bunge la Tanzania, iliangaliwa Aprili 2022