Jacqueline Ceballos

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Jacqueline "Jacqui" Michot Ceballos (alizaliwa 8 Septemba 1925 ) ni mwanaharakati wa haki za wanawake wa nchini Marekani. Ceballos ni rais wa zamani wa shirika la National Organization for Women na mwanzilishi wa shirika la Veteran Feminists of America ambalo linaandika historia ya ufeministi wa wimbi la pili na waanzilishi wa ufeministi. [1]

Mjadala wa Ceballos wa 1971 kuhusu siasa za ngono na Norman Mailer na Germaine Greer umerekodiwa katika filamu ya Town Bloody Hall 1979. [1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. 1.0 1.1 Mead, Rebecca, "Changes", The New Yorker, May 3, 2004
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Jacqueline Ceballos kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.