Ikram Kabbaj
Ikram Kabbaj (kwa Kiarabu: إكرام القباج; alizaliwa mwaka 1960) ni msanii anayejishughulisha na sanaa ya uchongaji kutoka Morocco. Kabbaj kwa kiasi kikubwa huchonga vitu kutoka kwenye mawe na marumaru.
Maisha Ya Awali Na Elimu[hariri | hariri chanzo]
Kabbaj Alizaliwa Casablanca mwaka wa 1960. Alipata elimu yake kutoka shule ya sanaa École des Beaux-Arts huko Paris, akisoma huko kutoka mwaka 1978 hadi 1987 akibobea katika sanaa ya uchongaji.
Kazi Na Sanaa[hariri | hariri chanzo]
Kazi na sanaa za Kabbaj huoneshwa kwa kiwango cha kitaifa nchini Morocco na kimataifa.[1]
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- ↑ "Ikram Kabbaj". Beauce Art (kwa fr-FR). Iliwekwa mnamo 2019-10-26.