Henny Eman
Mandhari

Jan Hendrik Albert Eman (20 Machi 1948 – 6 Januari 2025) alikuwa mwanasiasa na Waziri Mkuu wa kwanza wa Aruba kuanzia tarehe 1 Januari 1986 hadi 9 Februari 1989 na tena kuanzia tarehe 29 Julai 1994 hadi 30 Oktoba 2001. [1]
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ "Eerste premier van Aruba Henny Eman (76) overleden". ND (kwa Kiholanzi). 2025-01-06. Iliwekwa mnamo 2025-01-06.
| Makala hii kuhusu mambo ya siasa bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Henny Eman Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |