Hamza Mendyl

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Hamza Mendyl.

Hamza Mendyl (amezaliwa 21 Oktoba 1997) ni mchezaji wa soka wa Moroko ambaye anacheza kama mlinzi wa nyuma (beki) katika klabu ya Schalke 04 ya Ujerumani.

Kazi ya klabu[hariri | hariri chanzo]

Schalke 04[hariri | hariri chanzo]

Tarehe 17 Agosti 2018, Mendyl alijiunga na Schalke 04 kwa mkataba wa miaka mitano.

Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Hamza Mendyl kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.