Hal Galper

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Hal Galper
Amezaliwa 18 Aprili 1938
Asili yake Salem, Massachusetts, U.S.
Aina ya muziki Jazz
Kazi yake Mwanamuziki
Ala Piano
Tovuti www.halgalper.com

Harold Galper (alizaliwa 18 Aprili 1938) [1] ni mpiga piano, mtunzi, mwimbaji wa muziki wa jazz,[2] kiongozi wa Bendi mwalimu, na mwandishi wa [[Nchini| Marekani.

Wasifu[hariri | hariri chanzo]

Alizaliwa Salem, Massachusetts, Marekani. Galper alisoma piano ya classical akiwa mvulana, lakini akabadili muziki wa jazz ambayo alisoma katika Chuo cha Muziki cha Berklee kutoka. 1955 hadi 1958. Alibarizi katika kilabu cha Herb Pomeroy, Stable, akiwasikia wanamuziki wa Boston kama vile Jaki Byard, Alan Dawson na Sam Rivers. Galper alianza kukaa ndani na kuwa mpiga kinanda wa nyumbani kwenye Stable na baadaye, katika Connelly's na Lenny's kwenye Turnpike. Aliendelea kufanya kazi katika bendi ya Pomeroy.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Rinzler, Paul; Kernfeld, Barry (2002). "Galper, Hal". Katika Barry Kernfeld. The New Grove Dictionary of Jazz, Vol. 2 (toleo la 2nd). New York: Grove's Dictionaries Inc. uk. 8. ISBN 1561592846. 
  2. https://www.purchase.edu/live/profiles/221-hal-galper
Makala hii kuhusu mwanamuziki fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Hal Galper kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.