Nenda kwa yaliyomo

Hafsat Abiola

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Hafsat Abiola

Hafsat Olaronke Abiola-Costello (aliazaliwa Lagos, 21 Agosti 1974) ni mwanaharakati wa haki za binadamu, haki za kiraia na demokrasia kutoka nchini Nigeria.

Ni mwanzilishi wa mpango wa demokrasia wa Kudirat (KIND), ambayo inalenga kuimarisha jumuiya za kiraia na kukuza demokrasia nchini Nigeria.[1][2][3]

Maisha binafsi

[hariri | hariri chanzo]

Mnamo mwaka 2001 aliolewa na Mwingereza mtaalamu wa uchumi na balozi, Nicholas Costello.[4] Wana watoto 2, Khalil na Anabella.[5][6][7]

  1. "KIND". KIND (kwa American English). Iliwekwa mnamo 2022-09-03.
  2. "Hafsat Abiola is the President of Women In Africa – WIA Initiative" (kwa Kiingereza (Uingereza)). Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2022-09-03. Iliwekwa mnamo 2022-09-03.
  3. "WIA Set to Mitigate Failure of African Women Led Businesses – THISDAYLIVE". www.thisdaylive.com. Iliwekwa mnamo 2022-10-15.
  4. "Nicholas Costello | EVPA". www.evpa.ngo. Iliwekwa mnamo 2022-10-15.
  5. "Nicholas Costello". www.myheritage.com. Iliwekwa mnamo 2021-06-08.
  6. Pamela Zuber (2015-06-02). "Writing clip_PZ_Abiola-Costello". {{cite journal}}: Cite journal requires |journal= (help)
  7. Driscoll, Margarette. "They shot my mother. She fights on through me". The Times (kwa Kiingereza). ISSN 0140-0460. Iliwekwa mnamo 2022-10-15.
Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Hafsat Abiola kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.