Google I/O

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sundar Pichai kwenye Google I/O, 2017

Google I/O au I/O kwa kifupi, ni mkutano wa kila mwaka wa wasanidi programu unaoandaliwa na Google, mjini Mountain View, California. Neno "I/O", limetolewa kwenye namba googol, huku "I" ikiwakilisha "1" kwenye googol, na "O" ikiwakilisha "0" kwenye namba.[1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Google I/O", Wikipedia (kwa Kiingereza), 2024-01-05, iliwekwa mnamo 2024-01-12 
Makala hii kuhusu mambo ya teknolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hiyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.