Geba

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Muonekano wa Mto Geba

Geba ni mto katika Afrika ya Magharibi inayoanzia Guinea ikipitia Senegal na kufufikia Bahari ya Atlantiki katika Guinea Bisau. Ina urefu wa km 540.

Kabla ya kufika Atlantiki mto unaanza kuwa mpana hadi kufikia upana wa km 16 mdomoni kwenye mji wa Bisau.

Sehemu pana inafaa kwa meli za tani hadi 2000 kuingia ndani ya bara kwa umbali wa km 140.

Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Geba kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.