Gaugeriki wa Cambrai
Mandhari

Gaugeriki wa Cambrai (pia: Gery, Gorik, Gau; Carignan, leo nchini Ufaransa, 550 hivi - Cambrai, Ufaransa, 11 Agosti 619) alikuwa askofu wa mji huo kwa miaka 39 hivi[1][2].
Maarufu kwa moyo wa ibada na upendo kwa fukara, kwanza alipewa na Magneriki wa Trier ushemasi, halafu akachaguliwa kuwa askofu.
Alianzisha monasteri na kukomboa watumwa pamoja na kuinjilisha hata vijijini[3].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo
- Orodha ya Watakatifu Waaugustino
- Orodha ya Watakatifu Wabazili
- Orodha ya Watakatifu Wabenedikto
- Orodha ya Watakatifu Wadominiko
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
- Orodha ya Watakatifu Wajesuiti
- Orodha ya Watakatifu Wakarmeli
- Orodha ya Watakatifu Wakolumbani
- Orodha ya Watakatifu Wamersedari
- Orodha ya Watakatifu Waoratori
- Orodha ya Watakatifu Wapasionisti
- Orodha ya Watakatifu Wapremontree
- Orodha ya Watakatifu Waredentori
- Orodha ya Watakatifu Wasalesiani
- Orodha ya Watakatifu Waskolopi
- Orodha ya Watakatifu Wateatini
- Orodha ya Watakatifu Watrinitari
- Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria
- Orodha ya Watakatifu Wavinsenti
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ Butler, Alban. “Saint Gery, or Gaugericus, Bishop and Confessor”. Lives of the Fathers, Martyrs, and Principal Saints, 1866. CatholicSaints.Info. 11 August 2016
- ↑ http://www.santiebeati.it/dettaglio/92840
- ↑ Monks of Ramsgate. “Gaugericus”. Book of Saints, 1921. CatholicSaints.Info. 11 August 2016
- ↑ Martyrologium Romanum
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |