Gaugeriki wa Cambrai

Mchoro mdogo wa Mt. Gaugeriki.
Gaugeriki wa Cambrai (pia: Gery, Gorik, Gau; Carignan, 550 hivi - 11 Agosti 619) alikuwa askofu wa mji huo, leo nchini Ufaransa, kwa miaka 35 hivi[1][2].
Alianzisha monasteri na kukomboa watumwa pamoja na kuinjilisha hata vijijini[3].
Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 11 Agosti[4].
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
- ↑ Butler, Alban. “Saint Gery, or Gaugericus, Bishop and Confessor”. Lives of the Fathers, Martyrs, and Principal Saints, 1866. CatholicSaints.Info. 11 August 2016
- ↑ http://www.santiebeati.it/dettaglio/92840
- ↑ Monks of Ramsgate. “Gaugericus”. Book of Saints, 1921. CatholicSaints.Info. 11 August 2016
- ↑ Martyrologium Romanum
![]() |
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |