Gabby George

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
George akiwa na Everton mnamo 2023

Gabrielle Alishya George (alizaliwa 2 Februari 1997) ni mchezaji wa mpira wa miguu,kutoka Uingereza ambae anacheza kama beki wa klabu ya Manchester United F.C. inayoshiriki Ligi Kuu ya Wanawake (WSL) na timu ya taifa ya Uingereza.[1][2][3]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Man Utd Women sign England international Gabby George". www.manutd.com (kwa Kiingereza). Iliwekwa mnamo 2024-04-29. 
  2. "Gabrielle George | Everton Football Club". web.archive.org. 2016-12-20. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2016-12-20. Iliwekwa mnamo 2024-04-29. 
  3. The Football Association. "England squad named for World Cup". https://www.englandfootball.com (kwa Kiingereza). Iliwekwa mnamo 2024-04-29. 
Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Gabby George kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.