Nenda kwa yaliyomo

Fujo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mtoto aliyevurugwa na kamera.

Fujo (kwa Kiingereza: confusion) ni ghasia au machafuko katika jamii. Ni hali ambapo kuna vurugu au kutokuwa na utulivu katika mazingira fulani. Fujo hizo zinaweza kutokana na sababu mbalimbali kama migogoro, maandamano, au kutofautiana kwa maoni.

Vilevile fujo inaweza kuwepo akilini kwa sababu mbalimbali[1] ambazo zinachunguzwa na elimunafsia ili kumsaidia mhusika kutulia na kupanga vizuri maisha yake. Kiwango chake kinaweza kuwa tofauti sana, hadi kufikia kichaa[2][3].

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. "Confusion: Symptoms, Signs, Causes & Treatment". MedicineNet. Iliwekwa mnamo 3 Februari 2016.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  2. Delirium Archived 13 Mei 2019 at the Wayback Machine, Symptom Finder online.
  3. Acute Confusional State; Dr. Gurvinder Rull; patient.info; Document ID/Version/Reference: 1714/22/bgp2104; updated: 13 Jan 2009; accessed: when?.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu: