Nenda kwa yaliyomo

Kichaa

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Alama inayotambulisha kichaa.

Kichaa (kwa Kiingereza: "insanity" ) ni wigo wa tabia fulani isiyo ya kawaida inayoambatana na matatizo ya akili.

Kichaa ni ugonjwa unaowapata sana binadamu na wanyama, kwa mfano kichaa cha mbwa.[1][2][3]

Kati ya sababu za ugonjwa huo kuna matumizi ya madawa ya kulevya na malaria kali iliyopanda kichwani.[4][5]

Tazama pia

[hariri | hariri chanzo]
  1. https://www.youtube.com/watch?v=6Cu2J0dOdh0
  2. Ministry of Health, Tanzania. (2019). *National Mental Health Policy*. Dar es Salaam: Government of Tanzania. Mwongozo wa afya ya akili nchini Tanzania.
  3. World Health Organization (WHO). (2018). *Mental Health: Strengthening Our Response*. https://www.who.int/news-room/fact-sheets/detail/mental-health-strengthening-our-response
  4. Oxford University Press. (2016). "Madness". *Oxford Dictionary of Psychology*. https://www.oxfordreference.com/view/10.1093/oi/authority.20110803100206123
  5. American Psychiatric Association. (2013). *Diagnostic and Statistical Manual of Mental Disorders, 5th Edition (DSM-5)*. Arlington, VA: APA Publishing. Kifaa cha kisayansi kinachofafanua magonjwa ya akili na hali za kisaikolojia.
Makala hii kuhusu mambo ya tiba bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kichaa kama sababu yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.