Fira

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Fira
Fira shingo-nyeusi
Fira shingo-nyeusi
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Nusufaila: Vertebrata (Wanyama wenye uti wa mgongo)
Ngeli: Reptilia (Wanyama wenye damu baridi na magamba ngozini)
Oda: Squamata (Mijusi, mijusi-nyungunyungu na nyoka)
Nusuoda: Serpentes (Nyoka)
Familia: Elapidae (Nyoka walio na mnasaba na fira)
Nusufamilia: Elapinae
Ngazi za chini

Jenasi 6:

Fira, swila au kobra (Unguja) ni nyoka wenye sumu ambao ni wana wa nusufamilia Elapinae katika familia Elapidae. Kwa lugha za Ulaya huitwa “cobra” ambalo ni kifupi cha cobra de capelo, jina la Kireno lamaanishalo “nyoka mwenye ukaya”. Wanaposumbuliwa nyoka hawa hujiinua na kupanua shingo zao kama ishara ya hatari. Spishi kadhaa hutema sumu kwa nguvu na hulenga macho. Sumu hii ikiingia kwa macho isababisha upofu wa muda.

Spishi za Afrika[hariri | hariri chanzo]

Spishi za Asia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Simple English Wiktionary
Simple English Wiktionary
Wikamusi ya Kiswahili ina maelezo na tafsiri ya maana ya neno:

Picha[hariri | hariri chanzo]