Fadhy Mtanga
Fadhili Frank Mtanga (anafahamika kwa jina lake la kiuandishi kama Fadhy Mtanga[1]; alizaliwa 14 Novemba 1981) ni mwandishi mbunifu[2], mwanablogu, mpiga picha, msanifu michoro na mwanajamii kutoka nchini Tanzania.
Kazi[hariri | hariri chanzo]
Alitoa riwaya yake ya kwanza ya Kiswahili mnamo mwaka 2011 na ilikwenda kwa jina la Kizungumkuti — halafu ikafuatiwa na Huba[3] mnamo mwaka wa 2014 na Fungate[4] iliyotoka mwaka 2017.
Mwaka wa 2018, alichapisha kitabu chake cha kwanza cha mashairi kilichoitwa Hisia[5].
Kazi[hariri | hariri chanzo]
- Kizungumkuti (2011)
- Hisia (2018)
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- ↑ Fadhy Mtanga. Iliwekwa mnamo 19 February 2018.
- ↑ Fadhy Mtanga - poems - (en).
- ↑ Huba.
- ↑ "Press Reader", 26 May 2017.
- ↑ Mtanga, Fadhy (2018-05-30). Ninawaleteeni kitabu cha HISIA.
- ↑ Mtanga, Fadhy (2014). Huba (in Swahili). Jukwaa Huru Media.
- ↑ Princeton University Library.
- ↑ Mtanga, Fadhy (2017). Fungate (in Swahili). UWARIDI. ISBN 9789987950843.