Nenda kwa yaliyomo

Exequiel Palacios

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Exequiel Alejandro Palacios (alizaliwa 5 Oktoba 1998)[1] ni mchezaji wa mpira wa miguu kutoka Argentina, ambaye anacheza kama beki katika klabu ya Bayer 04 Leverkusen inayoshiriki Bundesliga ya Ujerumani na timu ya taifa ya Argentina.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Exequiel Palacios kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.