Errol Dyers

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Errol Dyers (29 Machi, 195221 Julai, 2017) alikuwa mwanamuziki, mtunzi wa nyimbo na mpiga gitaa wa nchini Afrika Kusini na mwanzilishi wa Cape jazz / goema .

Kazi[hariri | hariri chanzo]

Dyers alitoka katika familia ya wanamuziki lakini alijifundisha muziki katika mitaa ya Cape Town, na alijulikana kwa uwezo wake wa kuchanganya muziki wa Cape jazz na goema. Aliimba pamoja na wanamuziki wengine wengi, kama vile Abdullah Ibrahim, Basil 'Manenberg' Coetzee, Robbie Jansen na Winston Mankunku . [1] [2]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Folb, Luke (22 July 2017). "Cape jazz giant Errol Dyers dies". iol.co.za.  Check date values in: |date= (help)
  2. "Errol Dyers, Cape guitar legend, dies aged 65". enca.com. 22 July 2017. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2018-10-21. Iliwekwa mnamo 2022-05-14.  Check date values in: |date= (help)
Makala hii kuhusu mwanamuziki fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Errol Dyers kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.