Donasiani wa Reims

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Donasiani katika mchoro wa Jan van Eyck Bikira na Mtoto Yesu pamoja na kanoni van der Paele (1436).

Donasiani wa Reims (alifariki 389) alikuwa askofu wa 7 au wa 8 wa mji huo nchini Ufaransa[1][2] [3].

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu[4].

Sikukuu yake ni tarehe 14 Oktoba[5].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. M. Guizot, Histoire de l'Eglise de Reims, Collection des Mémoires relatifs à l'histoire de France, Parigi 1824, pp. 13-14.
  2. Charles Vens, BSS, vol. IV (1964), col. 800.
  3. Donatien of Rheims on Wikimedia He died in 421 Vos, Sint Donatianus patroon der kathedrale, stad van CommonsEdmond en ' t bisdom van Brugge. Eenige bladzijden te zijner era, Bruges, 1901.
  4. Donatien de Reims.
  5. Martyrologium Romanum: ex Decreto Sacrosancti oecumenici Concilii Vaticani II instauratum auctoritate Ioannis Pauli P.P. II promulgatum, Romae 2001, ISBN 8820972107

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Filippo Caraffa e Giuseppe Morelli (curr.), Bibliotheca Sanctorum (BSS), 12 voll., Istituto Giovanni XXIII nella Pontificia Università Lateranense, Roma 1961-1969.
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.