Disprosi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru


Disprosi (dysprosium)
Jina la Elementi Disprosi (dysprosium)
Alama Dy
Namba atomia 66
Uzani atomia 162,50
Ugumu (Mohs) {{{ugumu}}}
Kiwango cha kuyeyuka 1680 K (1407 °C)
Kiwango cha kuchemka 2840 K (2567 °C)
Asilimia za ganda la dunia 4 · 10-4 %

Disprosi (Kigiriki dysprósitos „isiyopatikana“) ni elementi na metali nzito na laini yenye namba atomia 66 kwenye mfumo radidia na uzani atomia 162.50. Alama yake ni Dy.

Tabia[hariri | hariri chanzo]

Disprosi huhesabiwa kati ya Lanthanidi inaonekana kama metali nzitonzito yenye rangi ya kifedha. Haina matumizi mingi kwa jumla ni kama tani 100 kwa mwaka pekee inakorogwa hasa ndani ya aloi mbalimbali.

Historia[hariri | hariri chanzo]

Disprosi ilitambuliwa mara ya kwanza mjini Paris mnamo mwaka 1886 na mwanakemia Mfaransa Paul Émile Lecoq de Boisbaudran.

Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:


Makala hii kuhusu mambo ya kemia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Disprosi kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.