Dirisha (utarakilishi)

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Dirisha (tarakilishi))
Dirisha la programu unaitwa Firefox.

Katika utarakilishi, dirisha au dirisha waraka (kwa Kiingereza: window) ni kipengee michoro ya kidhibiti. Dirisha ni eneo la mwono linaloshikilia kiolesura michoro cha mtumiaji wa programu. Kwa mfano, dirisha linaweza kushikilia kivinjari au waraka PDF.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Kahigi, K. K. (2007). Ujanibishaji wa Office 2003 na Windows XP kwa Kiswahili Sanifu. Kioo cha Lugha, 5(1).
Makala hii kuhusu mambo ya teknolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hiyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.