Nenda kwa yaliyomo

Diego Marani

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Diego Marani

Diego Marani (alizaliwa Asola 27 Aprili 1990) ni mwanariadha nchini Italia.

Matokeo yake bora zaidi katika kiwango cha kimataifa yalikuwa nafasi ya 7, katika fainali ya mita 200, katika mashindano ya riadha ya Ulaya mwaka 2012 yaliyofanyika Helsinki.[1]

  1. "Diego Marani".
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Diego Marani kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.