Diego Maradona
Jump to navigation
Jump to search
Diego Maradona | ||
![]() | ||
Maelezo binafsi | ||
---|---|---|
Jina kamili | Diego Armando Maradona | |
Tarehe ya kuzaliwa | 30 Oktoba 1960 | |
Mahala pa kuzaliwa | Lanus, Buenos Aires, Argentina | |
Urefu | 1.65 m (5 ft 5 in) | |
Nafasi anayochezea | Mshambuliaji Katikati | |
Klabu za vijana | ||
1969–1976 | Argentinos Juniors | |
Klabu za ukubwani | ||
Miaka | Klabu | |
1976–1981 1981–1982 1982–1984 1984–1991 1992–1993 1993 1995–1997 |
Argentinos Juniors Boca Juniors Barcelona Napoli Sevilla Newell's Old Boys Boca Juniors Career | |
Timu ya taifa | ||
1977–1994 | Argentina | |
* Magoli alioshinda |
Diego Armando Maradona (amezaliwa 30 Oktoba 1960 - 25 Novemba 2020) alikuwa mchezaji maarufu wa mpira wa miguu kutoka nchi ya Argentina. Watu wengi wanamchukulia kuwa ni mchezaji bora duniani kwa wakati wote.
Mwaka 2000 katika zawadi ya mchezaji bora wa karne iliyotangazwa na FIFA, Maradona alikwenda sambamba katika kugombea mchezaji bora wa karne na Pele baada ya wote kuwa wa kwanza katika uchaguzi ambao FIFA ilitangaza kupitia rai za watu kwenye internet ili kuchagua mchezaji bora wa karne ya 20.
Maradona alichezea vilabu vya Boca Juniors, FC Barcelona na SSC Napoli na alipata tuzo mbalimbali katika vilabu hivyo vyote.
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
![]() |
Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Diego Maradona kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |