Devanagari

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rigveda, example of abugida script

Devanāgarī ni mwandiko unaotumiwa kwa kuandika lugha za Uhindi Kaskazini kama vile Sanskrit, Kibangla, Kihindi, Kimarathi, Kisindhi, Kibihari, Bhili au Kinepali cha Nepal. Wakati mwingine hata Kikashmiri huandikwa nayo.

Devanagari huhesabiwa kati ya miandiko ya Abugida inayounganisha alama kwa herufi na alama kwa silabi. Mwandiko mtangulizi wake ulikuwa mwandiko wa Brahmi.


Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Devanagari kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.