Deus Kaseke

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Deus Kaseke (alizaliwa Mbeya, Tanzania, 27 Agosti 1994),ni mchezaji wa kandanda au mpira wa miguu kutoka Tanzania.

Pia alichezea klabu mashuhuri nchini Tanzania ambayo ni Yanga Sc. Kaseke alivaa jezi namba 4 katika klabu hiyo.

Kwa sasa anatumikia Singida Big Stars inayoshiriki NBC Premier League.

Timu alizowahi chezea[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Deus Kaseke kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.