Chamayai

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Dasypeltis)
Chamayai
Chamayai mabaka (Dasypeltis scabra)
Chamayai mabaka (Dasypeltis scabra)
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Nusufaila: Vertebrata (Wanyama wenye uti wa mgongo)
Ngeli: Reptilia (Wanyama wenye damu baridi na magamba ngozini)
Oda: Squamata (Mijusi, mijusi-nyungunyungu na nyoka)
Nusuoda: Serpentes (Nyoka)
Oda ya chini: Alethinophidia (Nyoka wasio vipofu)
Familia: Colubridae (Nyoka walio na mnasaba na kipiri)
Oppel, 1811
Nusufamilia: Colubrinae
Jenasi: Dasypeltis
Wagler, 1830
Ngazi za chini

Spishi 13:

Chamayai ni spishi za nyoka wasio na sumu wa jenasi Dasypeltis katika familia Colubridae. Spishi zote zinapatikana katika Afrika.

Nyoka hawa sio warefu sana, kwa wastani sm 50-80 lakini kadhaa wanaweza kufika m 1.15. Rangi yao ni nyeusi, kijivu, kahawia au nyekundu na wana madoa au mabaka mara nyingi.

Chamayai hula mayai tu. Kwa hivyo wanatokea katika maeneo yenye miti mingi ambayo juu yao ndege wajenga matago yao. Wana vetebra kadhaa katika shingo zinazichomoza ndani ya koromeo. Baadha ya kumeza yai zima nyoka abinya koo lake na kutoboa yai kwa vetebra zile. Kisha akama uowevu wa yai na kutapika vipande vya ganda.

Spishi[hariri | hariri chanzo]

Picha[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Spawls, S., Howell, K., Drewes, R. & Ashe, J. (2002) A field guide to the Reptiles of East Africa. Academic Press, San Diego, CA, USA.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mnyama fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Chamayai kama uainishaji wake wa kibiolojia, maisha au uenezi wake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.