Daniel Ortega
Mandhari
| Daniel Ortega | |
| Aliingia ofisini 10 Januari 2007 | |
| Makamu wa Rais | Jaime Morales Carazo Omar Halleslevens |
|---|---|
| Muda wa Utawala 10 Januari 1985 – 25 Aprili 1990 | |
| Makamu wa Rais | Sergio Ramírez Mercado |
| aliyemfuata | Violeta Chamorro |
| Muda wa Utawala 18 Julai 1979 – 10 Januari 1985 | |
| mtangulizi | Francisco Urcuyo (Rais wa mpito) |
| aliyemfuata | Yeye mwenyewe(Rais) |
| tarehe ya kuzaliwa | 11 Novemba 1945 La Libertad, Nicaragua |
| jina ya kuzaliwa | José Daniel Ortega Saavedra |
| chama | Sandinista National Liberation Front |
| ndoa | Rosario Murillo (1979–hadi sasa) |
| dini | Romani katoliki |
Jose Daniel Ortega Saavedra (amezaliwa 11 Novemba 1945) ni mwanasiasa wa Nikaragua. Ni rais wa Nikaragua tokea mwaka 2007[1]. Pia alitumikia kama rais kuanzia mwaka 1979 mpaka 1990. Mnamo Novemba 2021, Daniel Ortega, alichaguliwa tena kwa muhula wa nne wa miaka mitano na 75% ya kura, kulingana na matokeo rasmi ya kwanza yaliyotolewa na Baraza Kuu la Uchaguzi.
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ Ortega wins Nicaragua's election,BBC News, 8 Novemba 2006