Chima Nwosu
Mandhari
Chima Nwosu
| Jinsia | kike |
|---|---|
| Nchi ya uraia | Nigeria |
| Nchi anayoitumikia | Nigeria |
| Jina halisi | Chima |
| Jina la familia | Nwosu |
| Tarehe ya kuzaliwa | 12 Mei 1986 |
| Mahali alipozaliwa | Nigeria |
| Lugha ya asili | Kiigbo |
| Lugha zinazozungumzwa, zilizoandikwa au zilizotiwa sahihi | Kiingereza, Kiigbo, Nigerian Pidgin |
| Kazi | mchezaji wa kandanda wa chama |
| Nafasi anayocheza kwenye timu | Beki |
| Mwanachama wa timu ya michezo | Nigeria women's national football team |
| Mchezo | mpira wa miguu |
| Ameshiriki | 2004 Summer Olympics |
Chima Nwosu (alizaliwa 12 Mei, 1986) ni mchezaji wa mpira wa miguu wa wanawake kutoka nchini Nigeria.
Alishiriki na timu ya taifa ya wanawake ya Nigeria katika michezo ya Olimpiki ya mwaka 2004. Na anacheza kwenye klabu ya mpira ya wanawake ya Inneh Queens.[1]
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ "Olympic Women's Football Tournaments Athens 2004 – Squad List: Nigeria (NGR)". FIFA. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2015-09-07. Iliwekwa mnamo 2 Oktoba 2015.
{{cite news}}:|archive-date=/|archive-url=timestamp mismatch; 2013-01-28 suggested (help); More than one of|archiveurl=na|archive-url=specified (help)CS1 maint: date auto-translated (link)
| Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Chima Nwosu kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |