Chepe

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Aina mbili za chepe.

Chepe (pia "shepe", "beleshi", "koleo" na "sepetu" au "spedi" kutoka Kiingereza "spade") ni zana ya ujenzi ya mkono inayoweza kuwa ya chuma au mbao inayotumika katika kuchotea mchanga na kuchanganyia zege wakati wa ujenzi. Pia chepe hutumika katika kuchimba mashimo.

Makala hii kuhusu mambo ya teknolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hiyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.