Chabbé

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Chabbé ni korongo lenye kina kirefu katika Jimbo la Sidama, Ethiopia lililopo kilomita 260 kusini mwa mji wa Addis Ababa, ambalo kuta zake zina takribani michoro 50 ambayo inaonekana kuonyesha ng'ombe jike. [1] Kuna uwezekano kwamba korongo hilo kwa wakati fulani liliwahi kuwa pango au handaki. [2]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Finneran, Niall (2007). "From Hunting To Herding". The archaeology of Ethiopia. London: Routledge. ku. 100–101. ISBN 9781136755521. 
  2. Digest, The Reader's (1978). The world's last mysteries. Montréal: Reader's Digest. uk. 301. ISBN 089577044X.  Unknown parameter |url-access= ignored (help)
Makala hii kuhusu maeneo ya Ethiopia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Chabbé kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.