Carolyn McCarthy

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mjumbe wa Baraza la Wawakilishi la U.S

Carolyn McCarthy (amezaliwa Januari 5, 1944) ni muuguzi na mwanasiasa wa Marekani ambaye aliwahi kuwa mwakilishi wa wa bunge la New York kuanzia 1997 hadi 2015. Yeye ni mwanachama wa Chama cha Kidemokrasia.

Mnamo Januari 8, 2014, alitangaza kwamba hatagombea tena uchaguzi huo wa Novemba,  alistaafu mnamo Januari 2015[1] na nafasi yake ikachukuliwa na Mwanademokrasia mwenzake Kathleen Rice.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Carolyn McCarthy", Wikipedia (kwa Kiingereza), 2022-07-03, iliwekwa mnamo 2022-07-31