Caroline Mutoko

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Caroline Mutoko na Walter Nyambane

Caroline Mutoko ni mtangazaji wa redio wa kituo cha redio cha Kiss FM. Yeye hupeperusha kipindi cha asubuhi "The Big Breakfast". alikuwa akikisimulia kipindi hicho pamoja na mwanazarakazi Walter Nyambane kabla Nyambane aamie kituo mojowapo cha Nation Media Group kuwa mtangazaji wa zamu. Hapo awali, Caroline alifawahi kunyakazi na Capital FM mjini Nairobi kama Mtangazaji na Meneja wa mauzo.

Caroline ni mtu mwenye ushawishi mkubwa sana. Baada ya uzoefu kwa redio wa miaka kumi na bado anazidi kuongeza uzoefu wake, yeye anahamasisha na kuchangamsha. Caroline anazidi kuwa mtangazaji katika Masafa ya Redio ya Kiss 100 na wenzake wapya, mwanasarakasi Felix Odiwuor anayejulikana kwa jina la utani kama Jalang'o au Jalas na duke Larry Asego.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]