Nenda kwa yaliyomo

Carlos Soler

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Soler akiwa na Valencia 2020

Carlos Soler Barragán (alizaliwa 2 Januari 1997)[1][2] ni mchezaji wa mpira wa miguu kutoka Uhispania, ambaye anacheza kama kiungo katika klabu ya Paris Saint-Germain F.C. inayoshiriki Ligue 1 ya Ufaransa na timu ya taifa ya Uhispania.[3]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. https://fdp.fifa.org/assetspublic/ce4/pdf/SquadLists-English.pdf
  2. https://fdp.fifa.org/assetspublic/ce44/pdf/SquadLists-English.pdf
  3. "Spain get their groove back against Georgia". MARCA (kwa Kiingereza). 2021-09-05. Iliwekwa mnamo 2024-06-19.
Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Carlos Soler kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.