Burl Ives

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Burl Ives

Burl Ives (Juni 14, 1909 - Aprili 14, 1995)[1] alikuwa mwanamuziki, mwigizaji, na mwandishi wa Marekani ambaye kazi yake ilichukua zaidi ya miongo sita. Ives alianza kazi yake kama mwimbaji msafiri na mpiga gitaa, hatimaye akazindua kipindi chake cha redio, (The Wayfaring Stranger) kipindi hicho kilieneza nyimbo za kitamaduni Mnamo 1942, Mnamo miaka ya 1960 alifanikiwa kurekodi miziki kama "A Little Bitty Tear" na "Funny Way of Laughin".[2]Ives pia alikuwa mwigizaji maarufu wa filamu hadi mwishoni mwa miaka ya 1940 na ya 1950.[3][4]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Burl Ives (1948). Wayfaring Stranger. New York: Whittlesey House, pp. 15–20. ISBN 9781787204898
  2. Ives, Wayfaring Stranger pp. 108–109.
  3. Kigezo:Cite magazine
  4. Burl Ives Biography, Sitcoms Online.
Makala hii kuhusu mwanamuziki fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Burl Ives kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.