Bonnah Moses Kaluwa
Mandhari
Bonnah Moses Kaluwa (amezaliwa 29 Desemba 1978 ; anatumia sasa jina la Bonnah Ladislaus Kamoli[1]) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha kisiasa cha Chama Cha Mapinduzi (CCM). Amechaguliwa kuwa mbunge wa Segerea kwa miaka 2015 – 2020. [2]
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ Katika tovuti ya bunge la Tanzania alitajwa kama Bonnah Moses Kaluwa; kwenye ukurasa wake wa facebook anatumia jina la Bonnah Kamoli https://www.facebook.com/bonnahkamoli/; kwenye tovuti hiyohiyo kuna pia rejeo kwenda tovuti ya http://www.bonnahkaluwa.or.tz Ilihifadhiwa 3 Machi 2018 kwenye Wayback Machine..
- ↑ Tovuti ya Bunge la Tanzania Ilihifadhiwa 18 Januari 2017 kwenye Wayback Machine., iliangaliwa Mei 2017
| Makala hii kuhusu kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Bonnah Moses Kaluwa kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |