Binti Yairo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Ufufuo wa Binti Yairo kadiri ya Paolo Veronese, 1546.

Binti Yairo ni maarufu kama msichana aliyefufuliwa na Yesu Kristo kama inavyosimuliwa na Injili ndugu (Mk 5:21–43; Math 9:18–26; Lk 8:40–56).

Yairo, baba yake, alikuwa amemkimbilia Yesu kwa ajili yake.

Walipofika nyumbani walikuta msiba umeshaanza, lakini Yesu alifukuza waombolezaji, akamfufua mtoto huyo wa miaka 12 mbele ya wazazi wake, Petro, Yakobo Mkubwa na Yohane tu.

Hatimaye aliagiza binti apewe chakula.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu mtu wa Biblia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Binti Yairo kama habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.