Beno Kakolanya
Mandhari
Beno Kakolanya (Julai 8, 1993, mkoani Mbeya) ni mchezaji wa mpira wa miguu kutoka Tanzania anayeshiriki kama golikipa. Hivi sasa anacheza katika klabu ya Simba SC, akiwa golikipa wa pili baada ya Aishi Manula. Alijiunga na Simba kwa mkataba wa miaka miwili kama mchezaji huru baada ya kuondoka Yanga SC kutokana na matatizo ya malipo.[1][2][3][4][5]
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ BeSoccer. "Beno Kakolanya – Profile". https://www.besoccer.com/player/beno-kakolanya-394903 Ilihifadhiwa 23 Oktoba 2020 kwenye Wayback Machine.
- ↑ ESPN. "Beno Kakolanya – Goalkeeper". https://www.espn.com/soccer/player/_/id/263304/beno-kakolanya
- ↑ Mwanaspoti. "Sakata la Kakolanya liko hivi Singida FG". https://www.mwanaspoti.co.tz/ms/soka/sakata-la-kakolanya-liko-hivi-singida-fg-4590572
- ↑ Nipashe. "Kakolanya, Singida FG ngoma bado mbichi". https://www.ippmedia.com/index.php/nipashe/michezo/soka/read/kakolanya-singida-fg-ngoma-bado-mbichi-2024-04-24-094224
- ↑ Daily News (Tanzania). "Simba: “Thank you Kakolanya, Nyoni”". https://dailynews.co.tz/simba-thank-you-kakolanya-nyoni/
| Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Beno Kakolanya kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |