BASIC

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
BASIC
Basic interpreter on the DVK computer
Shina la studio namna : namna ya utaratibu inaozingatiwa kuhusu kipengee
Imeanzishwa Mei 1 1964 (1964-05-01) (umri 59)
Mwanzilishi John George Kemeny
Ilivyo sasa Ilivutwa na: ALGOL 60, FORTRAN II na JOSS

Ilivuta: COMAL, Visual Basic, VisualBasic.NET, GRASS, AutoIt, AutoHotkey na batari Basic

Mahala Microsoft BASIC
Tovuti https://smallbasic-publicwebsite.azurewebsites.net/

BASIC ni lugha ya programu. Iliundwa na John George Kemeny na ilianzishwa tarehe 1 Mei 1964. Iliundwa ili kuumba programu. Leo tunatumia Mono BASIC. Ilivutwa na FORTRAN.

Inaitwa BASIC kwa sababu ni kifupi cha "Beginners' All-purpose Symbolic Instruction Code".

Historia[hariri | hariri chanzo]

Ilianzishwa 1 Mei 1964 nchini Marekani. Lakini John George Kemeny alianza kufanya kazi kuhusu BASIC mwaka wa 1960.

Falsafa[hariri | hariri chanzo]

Namna ya BASIC ni namna ya utaratibu na inaozingatiwa kuhusu kipengee.

Sintaksia[hariri | hariri chanzo]

Sintaksia ya BASIC ni rahisi sana, kinyume cha lugha za programu nyingine kama C++, COBOL au C sharp. Ilivutwa na sintaksia ya FORTRAN, lugha ya programu nyingine.

Mifano ya BASIC[hariri | hariri chanzo]

Programu kwa kuchapa « Jambo ulimwengu !».

10 PRINT "Jambo ulimwengu !"
20 END

Programu kwa kupata factoria ya namba moja.

INPUT "INGIA NAMBA MOJA:", N
F = 1
FOR I = 1 TO N
    F = F * I
NEXT I
PRINT "FACTORIA NI", F
END

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Sammet, Jean E. (1969). Programming languages: history and fundamentals. Englewood Cliffs, N.J.: Prentice-Hall. OCLC 819683527.
  • Lien, David A. (1986). The Basic Handbook: Encyclopedia of the BASIC Computer Language (3rd ed.). Compusoft Publishing. ISBN 9780932760333. OCLC 12548310.
  • Kemeny, John G.; Kurtz, Thomas E. (1985). Back To BASIC: The History, Corruption, and Future of the Language. Addison-Wesley. p. 141. ISBN 9780201134339. OCLC 11399298.