Austria Juu

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Austria ya Juu)
Mahali pa Austria Juu katika Austria
bendera ya Austria Juu

Austria ya Juu (Kijerumani: Oberösterreich) ni moja ya majimbo 9 ya kujitawala ya Austria lenye wakazi 1.411.606 kwenye eneo la 11.982 km². Mji mkuu ni Linz. Waziri mkuu ni Josef Pühringer (ÖVP).

Jiografia[hariri | hariri chanzo]

Austria Chini imepakana na majimbo ya Ujerumani ya Salzburg, Steiermark na Austria Chini.

Miji mikubwa ni pamoja na Linz na Wiener Neustadt.

Danubi na Enns ni mito muhimu zaidi.

Picha za Austria Juu[hariri | hariri chanzo]

Tovuti za Nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Austria bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Austria Juu kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.


Wikimedia Commons ina media kuhusu:


 
Majimbo ya Austria
Austria Chini (Niederösterreich)Austria Juu (Oberösterreich)BurgenlandKarinthia (Kärnten)SalzburgSteiermarkTirolVienna (Wien)Vorarlberg