Austreberta

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sanamu ya Mt. Austreberta].

Austreberta (Therouanne, Artois, leo nchini Ufaransa, 630; Rouen, Normandy, leo nchini Ufaransa, 704 hivi) alikuwa bikira wa ukoo maarufu ambaye alijiunga na monasteri ya Wabenedikto huko Pavilly akawa abesi wake kwa miaka arubaini[1].

Tangu kale anaheshimiwa kama watakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 10 Februari[2]..

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.