Augustine Vuma Holle

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Augustine Vuma Holle (amezaliwa 08 Agosti 1990) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha kisiasa cha Chama Cha Mapinduzi (CCM). Amechaguliwa kuwa mbunge wa Kasulu vijijini kwa miaka 20152025. [1]

Alisoma shule ya Bagamoyo secondary kuanzia mwaka 2006 - 2009 o-level.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Tovuti ya Bunge la Tanzania, iliangaliwa Mei 2017