Ally Abdulla Ally Saleh

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Ally Abdulla Ally Saleh ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa chama cha kisiasa cha CUF. Amechaguliwa kuwa mbunge wa Malindi kwa miaka 20152020. [1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Tovuti ya Bunge la Tanzania, iliangaliwa Mei 2017