Ali Khamenei

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Sayyid Ali Hosseini Khamenei (kwa Kiajemi: سید علی حسینی خامنه‌ای‎ ; amezaliwa 19 Aprili 1939) ni Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu (rahbar-e enqelāb-e eslāmī) na hivyo mkuu wa kisiasa na kidini nchini Iran. Yupo madarakani tangu mwaka 1989, alipomfuata Ruhollah Khomeini .

Hapo awali alikuwa Rais wa Uajemi kutoka 1981 hadi 1989.

Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Ali Khamenei kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.